Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 350,000

Aina

Nyumba

Vyumba

2

Maelezo

🚨🔥 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖

📍 Eneo: Kimara Korogwe
🕑 Umbali: Kutoka standi ya mwendo kasi ni takriban 1km — usafiri wa boda ni Tsh 1,000 au dakika 15 kwa miguu kufika nyumbani.

🏠 SIFA ZA NYUMBA

🔸Vyumba viwili (kimoja ni Master)
🔸 Sebule kubwa
🔸Jiko la ndani
🔸 Choo cha ndani (Public Toilet)
🔸 Umeme Luku yake binafsi
🔸 Maji yanatoka ndani, yana mita yake
🔸 Fensi na parking kubwa

📅 Inakuwa wazi kuanzia tarehe 30/10/2025 — unaweza kuja kuangalia na kufanya malipo yanapokelewa.

GHARAMA
🔷 Kodi: Tsh 350,000 × miezi 5 au 6
🔷 Malipo ya dalali: Tsh 350,000
🔷 Service charge: Tsh 15,000

#Piga_simu 👇

# .&Whatsapp📞

#please #Follow us🙏

Karibu Sana Mteja😊

##0655256419