Tafuta

Office Space inauzwa Kigamboni Ferry, Dar Es Salaam

Sh. 380,000,000

Maelezo

🏒πŸ”₯ JENGO LA BIASHARA LINauzwa – KIGAMBONI FERRY πŸ”₯🏒

πŸ’° FURSA ADIMU KWA WAWEKEZAJI!

Jengo linauzwa Kigamboni – Ferry, likiwa katika eneo lenye movement kubwa na linalofaa sana kwa biashara pamoja na uwekezaji wa muda mrefu.

✨ SIFA ZA JENGO:
βœ… Vyumba 16
βœ… Mfumo wa biashara
βœ… Ukubwa wa eneo: SQM 1,000
βœ… Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
βœ… Eneo lipo karibu sana na Kuvukoni Ferry

πŸ“ UMBALI:
🚢 Takribani mita 30 tu kutoka Kuvukoni Ferry

πŸ”₯ JENGO HILI LINAfaa KWA:
🏠 Hostel
🏒 Apartments za Kupangisha
🏨 Guest House
πŸ’Ό Biashara mbalimbali
πŸ“ˆ Uwekezaji wa muda mrefu

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 380
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

πŸ“ž Wasiliana nasi: 0769 554 221

πŸ”₯ USIKOSE FURSA HII ADIMU YA UWEKEZAJI KIGAMBONI FERRY!
πŸ“Service Charge 30,000
πŸ“ž0769554221

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio