Kituo cha Mafuta kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam (4 acre)

Huduma na Sifa
Maelezo
🚨⛽ DEPOT YA MAFUTA INAUZWA – KIGAMBONI 📍🔥
💰 BEI: DOLA MILIONI 60 (USD 60,000,000)
😮💨 Mkuu…
Fursa kama hizi haziji kila siku sokoni.
Tunakuletea DEPOT KAMILI YA MAFUTA iliyopo Kigamboni, moja ya maeneo yenye ukuaji mkubwa wa biashara na miundombinu Tanzania.
📍 ENEO: KIGAMBONI
✅ Heka 4
✅ Matanki 6
✅ Uwezo wa kuhifadhi lita milioni 40
✅ Miundombinu kamili
✅ Njia bora za usafiri
✅ Umiliki sahihi na hati safi
🔥 Hii ni fursa adimu kwa:
✔️ Kampuni za mafuta
✔️ Wawekezaji wakubwa
✔️ Makampuni ya logistics
✔️ Strategic energy investors
📈 Depot ya aina hii siyo mali ya kawaida, ni asset inayoweza kuzalisha thamani kwa miaka mingi ijayo.
⚠️ Serious Investors Only.
📌 GARAMA YA KUPELEKWA: 100K
☎️📞 0625584914















