Kiwanja kinauzwa Bunju Moga, Dar Es Salaam sqm 1500

Ukubwa
1500 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA KINAUZWA β BUNJU MOGA Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hii ni nafasi ya kipekee usiikose! π Location: Bunju Moga π Ukubwa: SQM 1500 π Hati: Kina HATI MILIKI (umiliki halali) β¨ Sifa za Kiwanja: * Eneo zuri na tulivu * Linafaa kwa kujenga nyumba, apartment au uwekezaji * Mazingira yanaendelea kwa kasi π° Bei: TZS Milioni 130 (maongezi yapo) β‘ Mmiliki anauza kwa haraka kutokana na dharura β Bei hii ni adimu sana kwa Bunju Moga ambapo viwanja vina thamani kubwa! π€ Karibu kwa dalali msafi, huduma ya uhakika, hakuna usumbufu. π Wasiliana sasa: 0692181138 π² Wahi kabla hakijauzwa!












