Kiwanja kinauzwa Bunju Moga, Dar Es Salaam sqm 1500

Ukubwa
1500 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA KINAUZWA β BUNJU MOGA
Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hii ni nafasi ya kipekee usiikose!
π Location: Bunju Moga
π Ukubwa: SQM 1500
π Hati: Kina HATI MILIKI (umiliki halali)
β¨ Sifa za Kiwanja:
* Eneo zuri na tulivu
* Linafaa kwa kujenga nyumba, apartment au uwekezaji
* Mazingira yanaendelea kwa kasi
π° Bei: TZS Milioni 130 (maongezi yapo)
β‘ Mmiliki anauza kwa haraka kutokana na dharura β
Bei hii ni adimu sana kwa Bunju Moga ambapo viwanja vina thamani kubwa!
π€ Karibu kwa dalali msafi, huduma ya uhakika, hakuna usumbufu.
π Wasiliana sasa: 0692181138
π² Wahi kabla hakijauzwa!















