Kiwanja kinauzwa Chamazi Kwa Mkongo, Dar Es Salaam sqm 3000

Ukubwa
3000 SQM
Barabara ya Karibu
800m โ Chamazi Kwa Mkongo
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก ENEO LINAUZWA โ CHAMAZI KWA MKONGO
Unatafuta eneo zuri kwa ajili ya makazi, biashara au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!
๐ Mahali: Chamazi Kwa Mkongo
๐ Ukubwa: Square Meter 3,000
๐ Hati: Hati Miliki ya Wizara
๐ฐ Bei: TSh Milioni 120
โ
Eneo lipo umbali wa takribani mita 800 kutoka barabara ya Chamazi Kwa Mkongo.
โ
Ni tambarare na lipo katika mazingira mazuri na salama.
โ
Lipo jirani na kiwanda cha misumari na kiwanda cha rangi.
โ
Linafaa kwa ujenzi wa nyumba, godown, kiwanda au mradi mwingine wa uwekezaji.
๐ Njoo site ujionee mwenyewe, ukague na ukiridhika ulipie.
Kwa maelezo zaidi piga simu: 0683 665504.











