Kiwanja kinauzwa Goba Dangote, Dar Es Salaam sqm 1300

Ukubwa
1300 SQM
Barabara ya Karibu
50m
Huduma na Sifa
Maelezo
Hiki kiwanja usijiulize mara mbili mbili kama kweli wewe ni Mwekezaji wa Real Estate. Ushauli ni buree🙏🏾
Kiwanja kipo 📍Dar es salaam. GOBA DANGOTE. Njia ya Mbezi Beach Masana.
▪︎ Mita 50 kubwa lami.
▪︎ Kipo barabara ya mtaa yenye ZEGE Kutoka lami, haukanyagi vumbi.
▪︎ Ni CORNER PLOT.
▪︎ Kipo tambalale
▪︎ Mtaa mzuri..
FULL DOCUMENTS ✅️ HATI SAFI ✅️
SQM 1300
BEI: TZS 200 Million (Maongezi yapo)
Tupigie 0767 891 406 // 0785 682 800
#luganoorealestateagency















