Kiwanja kinauzwa Kerege Amani No 1, Pwani sqm 700

Maelezo
Kiwanja kizuri sana KINA MSINGI WA GHOROFA kinauzwa Milioni 170 Maongozi yapo
*LOCATION:šKEREGE AMANI NO' 1*
Ukubwa wa kiwanja: Sqmt 700
Matumizi: Makazi/Apartment/ Nk.
Document: Clean TITLE DEED (Hati miliki kutoka wizara ya ardhi)
āMaji safi dawasco umeme vyote vipo Ndani ya kiwanja
āUmbali Mita 500 tu kutoka Bara bara ya lami ya *GOBA CENTER*
Maelezo zaidi nenda WhatsApp 0763 296 711 @ourdalali_real_estate_limited











