Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam sqm 1300

Ukubwa
1300 SQM
Barabara ya Karibu
100m
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA KINAUZWA β KIGAMBONI KIBADA
Unatafuta kiwanja chenye eneo zuri kwa uwekezaji au kujenga makazi? Hiki ndicho chaguo sahihi!
π Mahali: Kigamboni, Kibada
π Ukubwa: SQM 1,300
π Hati: Hati ya Wizara
π£οΈ Umbali: Mita 100 tu kutoka barabara kuu ya lami
π Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere
β΄οΈ Kilomita 9 kutoka Ferry
β¨ Kiwanja kipo katika neighborhood nzuri na tulivu, mazingira safi na yanayoendelea kwa kasi. Kinafaa kwa:
β
Uwekezaji
β
Makazi
β
Miradi mbalimbali ya maendeleo
π° Bei: TZS Milioni 150 (Mazungumzo kidogo yapo.)
π0769554221
πservice Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















