Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kibamba Luguruni, Dar Es Salaam sqm 1800

 media -1
media -1
Sh. 185,000,000

Maelezo

🔥 Eneo Zuri kubwa lenye Nyumba Ndani Linauzwa KIBAMBA LUGURUNI

#Ukubwa wa Eneo ni SQM 1,800/=
#Hatimiliki Ipo kwenye mchakato muda wowote inakuwa tayari

📍 Bei ni 185,000,000/= (milioni 185)

★Eneo Lina Nyumba Nzuri ya kuhamia,na ni nyumba ya Vyumba 2 vya Kulala (vyote Master), sebule, Store na Jiko

#Eneo linafaa kwa kujenga nyumba ya kuishi ama Apartments za Kupangisha

📌 Eneo Lipi Karibu na Ofisi za Manispaa ya Ubungo na Chuo cha Saint Joseph. Hivyo wapangaji ni uhakika

#Umbali wa dakika 12 kwa miguu kutoka Morogoro Road, gari inafika vizuri hadi Site
______
#Kupelekwa Kuona 40,000/=

Kwa maelezo zaidi piga :-

0712528820
0685221354

Mr.

Matangazo yanayofanana Kibamba, Dar Es Salaam

Kiwanja kinauzwa Kibamba Ccm, Dar Es Salaam sqm 2000

Sh. 150,000,000

For Sale2,000 sqmNegotiable
  • Hati

  • Ardhi Tambarare

Kiwanja kinauzwa Kibamba Luguruni, Dar Es Salaam sqm 1800

Sh. 185,000,000

For Sale1,800 sqm
  • Hati

  • Karibu na Barabara

  • Karibu na Shule

Kiwanja kinauzwa Kibamba, Dar Es Salaam sqm 4000

Sh. 350,000,000

For Sale4,000 sqmNegotiable
  • Hati

  • Ardhi Iliyopimwa

  • Site Visit Bure

Viwanja vinauzwa Kibamba Shule, Dar Es Salaam sqm 400

Sh. 22,000/sqm

For Sale400 sqmInstallment
  • Maji

  • Umeme

  • Hati