Kiwanja kinauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam sqm 640

Ukubwa
640 SQM
Barabara ya Karibu
400m β Kisota Street
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA KINAUZWA β KIGAMBONI KISOTA
Fursa adimu ya kuwekeza katika eneo linalokua kwa kasi!
π Mahali: Kigamboni β Kisota
π Ukubwa: SQM 640
π Hati: Hati ya Wizara ya Ardhi
π° Bei: TZS Milioni 140 (mazungumzo kidogo yapo)
Sifa za Kiwanja:
β
Mita 400 tu kutoka barabara kuu ya lami
β
Kimegusa barabara mpya ya lami ya Kisota Street
β
Kilomita 9 kutoka Ferry ya Kigamboni
β
Kilomita 7 kutoka Daraja la Nyerere
β
Eneo zuri kwa makazi au uwekezaji wa biashara
π 0769554221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















