Kiwanja kinauzwa Kisota, Dar Es Salaam sqm 1200
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
š” KIWANJA KIZURI KINAUZWA ā KIGAMBONI, KISOTA š”
Unatafuta kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi na lenye miundombinu mizuri? Hiki ndicho chaguo sahihi!
š Mahali: Kigamboni ā Kisota
ā
Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
ā
Ukubwa: SQM 1,200
ā
Corner Plot ā kina nafasi nzuri kwa makazi au uwekezaji
ā
Mita 300 tu kutoka barabara ya lami
ā
Kilomita 6 kutoka Feri
ā
Kilomita 6.5 kutoka Daraja la Nyerere
ā
Kipo kwenye eneo zuri na lenye maendeleo makubwa
š° Bei: TZS 125,000,000 (Milioni 125)
š¤ Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
š
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingpage





