Kiwanja kinauzwa Kisota, Dar Es Salaam sqm 1200

Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KIZURI KINAUZWA β KIGAMBONI, KISOTA π‘
Unatafuta kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi na lenye miundombinu mizuri? Hiki ndicho chaguo sahihi!
π Mahali: Kigamboni β Kisota
β
Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
β
Ukubwa: SQM 1,200
β
Corner Plot β kina nafasi nzuri kwa makazi au uwekezaji
β
Mita 300 tu kutoka barabara ya lami
β
Kilomita 6 kutoka Feri
β
Kilomita 6.5 kutoka Daraja la Nyerere
β
Kipo kwenye eneo zuri na lenye maendeleo makubwa
π° Bei: TZS 125,000,000 (Milioni 125)
π€ Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
π0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingpage















