Kiwanja kinauzwa Kiwalani, Dar Es Salaam sqm 400

Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
š” FURSA YA UWEKEZAJI ā KIWALANI, DAR ES SALAAM š
š° Bei: TSh Milioni 70 (Majadiliano yapo kwa mteja makini)
Unatafuta eneo lenye fursa nyingi za biashara na uwekezaji? Hiki ndicho unachokitafuta!
ā
Eneo lipo Kiwalani, futi chache kutoka barabara ya lami.
ā
Ukubwa wa kiwanja: SQM 400
ā
Hati Miliki ya Wizara ya Ardhi ā Umiliki salama na wa uhakika.
š Ndani kuna nyumba ambayo unaweza:
āļø Kuikarabati na kuipangisha.
āļø Kuibadilisha kuwa apartments za kisasa.
āļø Kuibomoa na kujenga apartments za kisasa zenye mapato makubwa.
š¼ Pia eneo hili linafaa kwa:
šØ Kujenga Lodge ya kisasa kwa biashara ya malazi.
š§ Kufungua Garage ya kisasa kwa huduma za magari.
š¢ Kujenga Ofisi au biashara nyingine yoyote yenye faida.
š Eneo lina mazingira mazuri na linaendelea kukua kwa kasi, hivyo ni uwekezaji wenye thamani kwa sasa na siku zijazo.
š Service Charge: TSh 50,000/=
š² +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! š¹šæ
