Tafuta

Kiwanja kinauzwa Mbezi Makabe, Dar Es Salaam sqm 460

Sh. 27,000,000

Ukubwa

460 SQM

Huduma na Sifa

Umeme
Maji

Maelezo

πŸ“ KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MAKABE 🏑

βœ… Ukubwa: SQM 460
βœ… Kipo dakika 4 kwa miguu kutoka ofisi ya serikali ya mtaa MAKABE

βœ… Eneo zuri na linalokua kwa kasi
βœ… Umeme na maji vyote vipo jirani

Kiwanja hiki kinafaa sana kwa makazi binafsi kwa wanaohitaji eneo lenye nafasi ya kutosha kwa familia. Pia ni chaguo bora kwa wawekezaji, kwani ukubwa wake unaruhusu ujenzi wa apartments au nyumba za biashara zenye nafasi nzuri ya maegesho na huduma nyingine muhimu.

πŸ’° Bei: Milioni 27 Tu Maongezi yapo kidogo

πŸ“ž +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300

πŸ’΅ Service Charge: 30,000/=

Karibu ndugu mteja tufanye biashara.

Dalali Amani Kimara
Miliki Kesho Yako Leo!!! 🏠✨