Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Magengeni, Dar Es Salaam sqm 800

video thumbnail
Sh. 250,000,000

Ukubwa

800 SQM

Barabara ya Karibu

200m

Huduma na Sifa

Hati
Ardhi Tambarare
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

🏡 KIWANJA CHENYE NYUMBA ZA KUVUNJA KINAUZWA TABATA MAGENGENI 🏡

💰 BEI: MILIONI 250 TU

📐 Ukubwa: SQM 800

✅Kiwanja ni tambarare kabisa.
✅Kiwanja kipo MITA 200 kutoka lami
✅Kiwanja kinafaa kwa uwekezaji wowote ule hakuna changamoto.
✅Kipo katika neighbourhood nzuri na tulivu, inayofaa kwa makazi binafsi au uwekezaji.
📄 Umiliki wake ni Hati Miliki ya WIZARA ya ARDHI .

Hii ni fursa nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.

📞 Muhitaji piga: +255 744112394
💵 Gharama ya huduma (Service Charge): 50,000/=