Kiwanja kinauzwa Uzunguni Pumuani, Tanga sqm 810

Ukubwa
810 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
πHabari ndugu mteja wa viwanja Kwa ajili ya makazi na biashara , nakuletea Kiwanja CHA UKUBWA WA MAREFU 30 MAPANA 27 kipo eneo zuri lililojengeka , kipo uzunguni pumuani moshi. dakika 1 Kwa bodaboda highway ya kuelekea dsm , na kutembea ni dakika 10 tuu
πeneo limejengeka vizuri sana watu wanaishi ndani ya Nyumba zao vizuri kabisa.
πBei ya muuzaji ni mil.15 tuu , site visits 20,000 ,.
ππΎππΎππΎKARIBU KWA VIWANJA VINGI NA VINGINEVYO HAPA MOSHI ππΎππΎππΎ
ππ0672721329ππ
#foryoupage
#realestatetanzania
#dalalimoshi_viwanja
#dalalimakini
#tanzaniatiktok









