Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma


Mjini, Songea CBD, Ruvuma
6 months ago
Sh. 3,000,000
Maelezo
Bado hujachelewa karibu nikuuzie viwanja Dodoma mjini kwa bei nafuu sana-Bei kuanzia mil 3
Eneo ni Nghong’onha ✅(Karibu na Udom)
📌Km 9 kutoka Dodoma mjini
📌km 6 kutoka stesheni Sgr
📌Viwanja vimepimwa ✅
📌Barabara,maji na umeme vipo site
📌Malipo kwa awamu 6
📌Ukubwa kuanzia sqm 300,400,500,600,800 hadi 5000
Bei kuanzia mil 3✅
Mawasiliano: 0768 333 054
