Viwanja vinauzwa Chamwino, Dodoma sqm 400


Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
5km — Barabara kuu ya kwenda Chilonwa
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
MRADI MPYA DODOMA-CHAMWINO HIDDEN TREASURE🌆 ‼️SIFA ZA MRADI ‼️ -Mradi umepimwa 💯 -5km kutoka roundabout ya chamwino ikulu -Huduma za kijamii zinapatikana(Umeme,maji,shule za primary na secondary msanga,hospitali,chuo ) -Mradi umepakana na ikulu Saccoss -Miundombinu salama -Mradi umepakana na barabara kuu ya kwenda chilonwa,Msanga 📐Ukubwa wa viwanja: Kuanzia SQM 400 (20 x 20) na kuendelea 💰 MALIPO: Tunamalipo ya fedha taslimu(CASH) na malipo kwa awamu INSTALLMENT) mpaka miezi 20 💸*CASH*: 1 sqm = Tsh 12,000 💡 Mfano wa malipo Taslimu (3 miezi):SQM 400 400 x 12,000=4,800,000 4,800,000/3=1,600,000 ✅Lipa 1,600,000/= kila mwezi ndani ya miezi mitatu 💸*INSTALLMENT* 1 SQM = Tsh 15,000 💡 Mfano wa malipo kwa awamu (20 miezi)SQM 400 400 x 15,000=6,000,000 6,000,000/20=300,000 ✅Lipa 300,000/= kila mwezi ndani ya miezo 20 Tu ✨*Kwa nini uwekeze hapa* 🔹Eneo linaendelea kukua kwa kasi 🔹Eneo zuri kwa makazi na biashara 🔹Thamani inaongezeka kila siku 0743930000 REJAA REAL ESTATE,WE HELP YOU INVEST🤝









