Viwanja vinauzwa Chidachi Ntyuka, Dodoma sqm 400

Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
📍VIWANJA VINAUZWA CHIDACHI NTYUKA
📍karibu na SGR pia karibu na Lami mpya ya kuelekea
Mvumi inayopitia hospitali ya DCMC
📍Bei ya viwanja vinauzwa Tsh 15,000 kwa Sqm 1
📍Viwanja vinaanzia Sqm 400 - 900
📍Umbali kutoka Dodoma mjini ni Km 8 Mpka kwenye
Viwanja
📍kwenda site kuona viwanja ni bure karibu Sana
📍 Ofisi zetu zipo Nyerere square mtaa wa uhindini mkabala na benki ya Equity
📍kwa mawasiliano nipigie 0790111137















