Tafuta

Viwanja vinauzwa Fanisi City, Kigamboni, Dar Es Salaam sqm 300

Sh. 11,000,000

Ukubwa

300 SQM

Huduma na Sifa

Maelezo

๐Ÿก MRADY MPYA WA VIWANJA VINAUZWA โ€“ KIGAMBONI, FANISI CITY ๐Ÿก

Unatafuta kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!

๐Ÿ“ Eneo: Fanisi City, Kigamboni
โœ… Umbali wa kilomita 1 kutoka Mlanda
โœ… Kilomita 12 kutoka Feri
โœ… Kilomita 10 kutoka Daraja la Mwalimu Julius Nyerere

Ukubwa na Bei:

๐Ÿ  SQM 300 โ€“ TZS 11,000,000
๐Ÿ  SQM 400 โ€“ TZS 20,000,000
๐Ÿ  SQM 500 โ€“ TZS 28,000,000

๐Ÿ’ฅ Bei zinajadiliwa (Mazungumzo yapo).

Faida za Viwanja:

โœ”๏ธ Eneo linalokua kwa kasi na linafaa kwa uwekezaji.
โœ”๏ธ Huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana, ikiwemo maji, shule na nyinginezo.
โœ”๏ธ Barabara nzuri zinafika hadi kwenye viwanja.
โœ”๏ธ Gari la aina yoyote linafika kwa urahisi hadi site.

Usikose nafasi ya kumiliki kiwanja katika moja ya maeneo yenye ukuaji mkubwa Kigamboni.

๐Ÿ“ž 0769554221

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio