Viwanja vinauzwa Kigamboni Mwasonga, Dar Es Salaam sqm 500

Ukubwa
500 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Hapa ndipo! π Kigamboni Mwasonga - eneo linalokua kwa kasi sana!
β
Ukubwa: Kutoka 500sqm kuendelea
β
Nyaraka: Hati Safi / Mkataba wa Mauzo
β
Umbali: Dakika 15 kutoka Ferry, karibu na barabara kuu
β
Bei: Kuanzia Tsh 8 Milioni tu! Bei inafunguka
β
Maji na Umeme: Karibu na eneo
β
22,000 per 1sqm(mita ya mraba)
π‘ Faida ya Kununua Sasa:
Kigamboni ndio Dar es Salaam mpya. Bei zimepanda mara 3 miaka 3 iliyopita. Ukinunua leo, mwaka ujao unauza kwa faida.
#viwanjavilivyopimwa #surveyedplots #diaspora #viwanjadar















