Tafuta

Viwanja vinauzwa Mbezi Kwa Msuguli, Dar Es Salaam sqm 200

Sh. 16,000,000

Ukubwa

200 SQM

Huduma na Sifa

Ardhi Tambarare
Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Barabara

Maelezo

Viwanja vizuri sanaa vinakatwa vimebaki vichache ndugu mteja wai fastar usije kosa

Viwanja vzr tambarare sanaa uchimbi unamwaga tufari na kujenga tu

Viwanja vina documents za mauziano kutoka serikali za mtaa

Viwanja Ukubwa 20x10 bei milioni 16 maongezi ukitaka zaidi wewe tu eneo kubwa kimelipiwa hichi

Ukubwa wa 20×10 vinavotazama barabara kujenga fremu milioni 28 maongezi yapo

Viwanja vinafaa kujenga apartments za biashara au makazi binafsi

Kutoka lami hadi saiti dakika 1 tu barabara inafikika wakati wote

Location mbezi kwa msuguli km 1.5 usafiri bajaji 500 unashukia saity kabisa

Mawasiliano 0656623510

Wsp 0752436347