Viwanja vinauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 17,500,000

Huduma na Sifa

Inajitegemea

Maelezo

Hapa kuna viwanja zaidi ya kumi 10 hivi vinauzwa bei milion 17.5, hapa unaweza jenga nyumba za makazi, apartment n.k, viwanja ni vizuri sana ndugu wateja avina kipengere chochote labda kipengere ulete wewe tu, kutoka kituoni bodaboda sh 1000, hivi viwanja vipo maeneo ya tabata kinyerezi mwanzo mgumu dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0768682919

Service survey charge tsh 50000

Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam