Kiwanja kinauzwa Boko Mlemela, Dar Es Salaam (400 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
π₯ VIWANJA VINAUZWA β BOKO MLEMELA NJIA PANDA π₯
Unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba au kufanya uwekezaji? Hiki ndiyo fursa yako!
π Eneo: Boko Mlemela Njia Panda
π Ukubwa: 20Γ20
π° Bei kuanzia: Milioni 4 tu!
π£οΈ Umbali: Mita 500 kutoka barabara kuu.
β
Eneo linaendelea kukua kwa kasi
β
Linafikika kirahisi mwaka mzima
β
Linafaa kwa makazi na uwekezaji
π Wahi kuwasiliana nasi:
π² WhatsApp zinapatikana.
Usikose nafasi hii β nunua leo kabla bei haijapanda! π‘β¨
#ViwanjaBoko #BokoMlemela #ViwanjaVinauzwa #RealEstateTanzania #Uwekezaji DarEsSalaam















