Kiwanja kinauzwa Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam (800 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก KIWANJA CHA UWEKEZAJI KINAUZWA โ KIGAMBONI, FANI CITY ๐ก
Fursa adimu kwa wawekezaji na wanaotafuta eneo lenye ukuaji mkubwa wa thamani.
โ
Ukubwa: 800 Sqm
โ
Kimepimwa
โ
Kina Hati ya Wizara
โ
Kipo opposite na apartments za wawekezaji zenye vyumba viwili, sebule na jiko, ambazo hukodishwa kwa takribani TZS 500,000 kwa mwezi.
โ
Mita 300 tu kutoka barabara kuu
โ
Kilomita 9 kutoka Feri
โ
Kilomita 4.5 kutoka Daraja la Nyerere
๐ฐ Bei: TZS Milioni 55
Maongezi yapo kidogo kwa mnunuzi makini.
๐0769554221
#trendingvideo #tanzania #realestateinvestment #istagram #trendingpage















