Kiwanja kinauzwa Kibada, Chichea, Dar Es Salaam (640 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KINAUZWA β KIGAMBONI, KIBADA (CHICHEA β KIBAONI) π‘
Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa usiyoipaswa kuikosa!
π Ukubwa: SQM 640
π Hati: Kimepimwa na kina Hati ya Umiliki
π Mahali:
β
Mtaa wa Kibaoni, Chichea β Kibada
β
Mita 200 kutoka barabara ya lami
β
Kilomita 10 kutoka Feri
β
Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
β
Eneo tulivu, lenye miundombinu mizuri na linalokua kwa kasi
π° Bei: TSh Milioni 78 (Mazungumzo yapo.)
Ni chaguo bora kwa:
βοΈ Ujenzi wa nyumba ya makazi
βοΈ Uwekezaji wa muda mrefu
βοΈ Miradi ya biashara
π Wasiliana nasi: 0769 554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestatemarket #tanzania















