Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (650 sqm)

video thumbnail
Sh. 75,000,000

Maelezo

🏑 KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA

πŸ”₯ FURSA NZURI YA UWEKEZAJI NA MAKAZI! πŸ”₯

Kiwanja kizuri kinauzwa Kigamboni – Kibada, kikiwa katika eneo zuri, tulivu na lenye mazingira ya ushuani.

✨ Sifa za Kiwanja:
βœ… Ukubwa: SQM 650
βœ… Kimepimwa
βœ… Kina Hati ya Wizara
βœ… Eneo limekaa vizuri na lina mazingira mazuri
βœ… Kinafaa kwa makazi au uwekezaji

πŸ“ Umbali:
πŸ“Œ Mita chache kutoka Baba Alami
πŸ“Œ Kilomita 8 kutoka Ferry
πŸ“Œ Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° BEI: TZS Milioni 75
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

πŸ”₯ Fursa nzuri kwa mtu anayehitaji kiwanja kikubwa kwa kujenga nyumba ya kifahari au kwa uwekezaji wa muda mrefu.

πŸ“ž 0769 554 221
πŸ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kibada, Dar Es Salaam