Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kibada, Kigamboni, Dar Es Salaam (1661 sqm)

Sh. 160,000,000

Aina

Kiwanja

Residential Plot for sale in Kigamboni

Ukubwa

1661 SQM

Barabara ya Karibu

500m

Huduma na Sifa

Hati
Ardhi Iliyopimwa
Karibu na Barabara ya Lami
Service Charge30000

Maelezo

🏑πŸ”₯ KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA πŸ”₯🏑

πŸ’Ž FURSA NZURI KWA MAKAZI NA UWEKEZAJI!

Kiwanja kinauzwa katika eneo zuri la Kigamboni – Kibada, lenye mazingira mazuri na miundombinu mizuri.

✨ SIFA ZA KIWANJA:
πŸ“ Ukubwa: SQM 1,661
πŸ“„ Kimepimwa na kina Title Deed
πŸ“ Location nzuri na imenyooka
πŸ›£οΈ Barabara zipo vizuri
🏑 Kinafaa kwa makazi
πŸ“ˆ Kinafaa sana kwa uwekezaji

πŸ“ UMBALI:
πŸ“Œ Mita 500 kutoka barabara ya lami
πŸ“Œ Kilomita 9 kutoka Ferry
πŸ“Œ Kilomita 8 kutoka Kigamboni – Daraja la Nyerere

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 160
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

πŸ”₯ Kiwanja hiki kimekaa vizuri sana kwa mtu anayehitaji eneo la kujenga nyumba au kufanya uwekezaji wa muda mrefu.

πŸ“ž 0769 554 221
πŸ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio