Kiwanja kinauzwa Kichangani, Morogoro (510 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 𝐄𝐍𝐄𝐎 𝐋𝐈𝐍𝐀𝐔𝐙𝐖𝐀 – 𝗞𝗜𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗡𝗜,𝗠𝗢𝗥𝗢𝗚𝗢𝗥𝗢
Fursa adimu ya kumiliki eneo lenye nafasi nzuri kwa makazi au biashara!
📍 𝗠𝗮𝗵𝗮𝗹𝗶: Kichangani, Morogoro
✅ Ukubwa wa eneo: 𝗠𝗲𝘁𝗲𝗿 30 × 17
✅ Eneo linatazama barabara ya mtaa
✅ Kutoka barabara kuu (Main Road) hadi kwenye eneo ni 𝗺𝗶𝘁𝗮 30 𝘁𝘂
✅ Ndani ya eneo kuna vijumba vya zamani vinavyoweza kubomolewa au kutumika kulingana na mahitaji yako
✅ Nyaraka za umiliki ni 𝘇𝗮 𝗦𝗲𝗿𝗶𝗸𝗮𝗹𝗶 𝘇𝗮 𝗠𝗶𝘁𝗮𝗮
💰𝗕𝗲𝗶: 𝗧𝘀𝗵.𝗠𝗶𝗹𝗹𝗶𝗼𝗻 35 (mazungumzo yapo)
Eneo hili linafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi, apartment, biashara au uwekezaji kutokana na eneo lake zuri na urahisi wa kufikika.
𝗡𝗕: 𝗦𝗲𝗿𝘃𝗶𝗰𝗲 𝗰𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲 50,000/=.📌✦
📞 𝗞𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗲𝗹𝗲𝗸𝗲𝘇𝗼 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗮𝘂 𝗸𝘂𝗽𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗲𝗺𝗯𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗲𝗻𝗲𝗼, 𝘄𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗗𝗮𝗹𝗮𝗹𝗶 𝗠𝘀𝗵𝗶𝘂:
☎️0678 517 158
☎️0785 517 158









