Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Kibada, Dar Es Salaam (1300 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 135,000,000

Maelezo

🏑πŸ”₯ KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA πŸ”₯🏑

πŸ’Ž FURSA NZURI YA MAKAZI NA UWEKEZAJI!

Kiwanja kinauzwa katika eneo zuri la Kigamboni – Kibada, lenye mazingira mazuri na linalofaa kwa kujenga nyumba ya kisasa au kufanya uwekezaji.

✨ SIFA ZA KIWANJA:
πŸ“ Ukubwa: SQM 1,300
πŸ“„ Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
πŸ“ Location nzuri sana
🏠 Kinafaa kwa makazi na uwekezaji

πŸ“ UMBALI:
πŸ“Œ Mita chache kutoka Baba Alami
πŸ“Œ Kilomita 6 kutoka Ferry
πŸ“Œ Kilomita 5 kutoka Daraja la Nyerere – Kigamboni

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 135
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

🧾 Service Charge: TZS 30,000

πŸ”₯ USIKOSE FURSA HII! Kiwanja kikubwa, kimepimwa, kina Hati ya Wizara

πŸ“ž
πŸ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Dalali Kigamboni mbavu

dalali__kigamboni_mbavu

@dalali__kigamboni_mbavu

View Listings

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

Dalali Kigamboni mbavu