Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Mji Mwema, Dar Es Salaam (800 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡🔥 KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI, MJI MWEMA! 🔥🏡
💎 FURSA NZURI KWA WAWEKEZAJI NA MAKAZI!
📐 Ukubwa: SQM 800
📄 Hati: Hati ya Wizara
🔐 Kimezungushiwa fence na kina geti
📍 Eneo: Kigamboni, Mji Mwema
🚶 Mwendo wa mita 50 tu kutoka Mji Mwema Standi
💰 Bei: MILIONI 115/=
🤝 Mazungumzo yapo!
🏢 Kiwanja hiki kinafaa sana kwa ujenzi wa apartments, nyumba za makazi au uwekezaji mwingine wa kibiashara.
🔥 Eneo zuri, kiwanja kimepimwa, kina hati na tayari kimezungushiwa fence pamoja na geti.
📞 Wasiliana nasi:
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















