Kiwanja kinauzwa Kimara Suka, Dar Es Salaam (700 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA KINAUZWA ā KIMARASUKA
š Eneo: Kimarasuka, umbali wa Kilomita 3 kutoka barabara kuu.
ā
Ukubwa: Square Meter 700 š° Bei: TZS Milioni 36 (mazungumzo yapo kidogo)
Sifa za kiwanja:
Kipo kwenye eneo lililoendelea tayari.
Umeme upo.
Maji yapo.
Barabara nzuri zinapitika mwaka mzima.
na huduma nyingine muhimu.
Kimepimwa rasmi na kina mawe ya mipaka kutoka Wizara ya Ardhi.
Hati itatolewa kwa jina la mnunuzi.
Usikose fursa hii ya kumiliki kiwanja kwenye eneo lenye maendeleo na thamani inayoongezeka kila siku.
Kwenda kuona 30k
Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kukiona.0711258592 au 0764575774















