Kiwanja kinauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 17,000,000

Aina

Kiwanja

Vyumba

1

Ukubwa

400 SQM

Barabara ya Karibu

1km

Huduma na Sifa

Sebule
Karibu na Barabara
Umeme
Maji

Maelezo

๐Ÿ”ฅ FURSA ADIMU โ€“ KIWANJA KINAUZWA KINYEREZI KWA DITOPILE ๐Ÿ”ฅ

๐Ÿ“ Location: Kinyerezi โ€“ KWA DITOPILE
๐Ÿ“Œ Takriban KM 1 kutoka Kinyerezi Shule
๐Ÿš— Barabara inafikika kirahisi kwa gari, bodaboda au pikipiki

โธป

๐Ÿ“ Ukubwa: Square Meter 400 (20 x 20)
๐Ÿ  Ndani kuna nyumba yenye:
โ€ข Chumba kimoja
โ€ข Sebule

๐Ÿ‘‰ Unaweza:
โœ… Kuishi mwenyewe mara moja
โœ… Kupangisha na kupata kipato
โœ… Kubomoa na kujenga nyumba ya kisasa ya ndoto zako

๐ŸŒณ Eneo ni tulivu, neighbourhood imetulia sana
๐Ÿ’งโšก Huduma zote za msingi za kijamii zipo na zinapatikana bila shida

๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 17 (Mazungumzo yapo kidogo)

Karibu sana ndugu mwekezaji au mfanyabiashara.
Hii ni fursa nzuri kwa mwenye mtaji wa kuanzia au anayetaka eneo la kujenga makazi yake.

๐Ÿ“ž Piga simu 0688412890 leo kabla halijaondoka!