Kiwanja kinauzwa Mbezi Mwisho Kibaoni, Dar Es Salaam (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
📍 KIWANJA KIZURI KINAUZWA – MBEZI MWISHO - KIBAONI🏡
✅ Ukubwa: SQM 400
✅ Kipo umbali wa km 2 kutoka Kituoni Morogoro Road
✅ Eneo zuri na lililokua kwa kasi limejengeka sana ushuani kabisa
✅ Huduma zote zipo
Kiwanja hiki kinafaa sana kwa makazi binafsi kwa wanaohitaji eneo lenye nafasi ya kutosha kwa familia
Pia kina mabanda ya wapangaji yapo mawili ukiamua unaweza vunja
Pia ni chaguo bora kwa wawekezaji, kwani ukubwa wake unaruhusu ujenzi wa apartments au nyumba za biashara zenye nafasi nzuri ya maegesho na huduma nyingine muhimu.
💰 Bei: Million 22 (FIXED)
📞 +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300
💵 Service Charge: 30,000/=
Karibu ndugu mteja tufanye biashara.
Dalali Amani Kimara
Miliki Kesho Yako Leo!!! 🏠✨















