Kiwanja kinauzwa Mbweni Malindi, Dar Es Salaam (1940 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA BORA NA CHA KIFAHARI CHENYE HATI KINAUZWA MBWENI MALINDI
Je, unatafuta eneo tulivu, lenye usalama na majirani wa kueleweka wa tabaka la juu kwa ajili ya kujenga mjengo wako wa ndoto? Kiwanja hiki ndio jibu lako!
Sifa za Kiwanja:
Eneo: Mbweni Malindi (Mazingira safi na ya kisasa kabisa)
Ukubwa: SQM 1,940 (Mita za mraba 1,940)
Hali ya Eneo: Ni tambarale kabisa (Hujengi kwa gharama za ziada za kusawazisha)
Umbali: Mita 20 tu kutoka kwenye barabara ya lami
Majirani: Neighbor ya kiwango cha juu, eneo tulivu na lenye amani
Bei: Milioni 350 (Maongezi yapo)
Usipitwe na fursa hii ya uwekezaji au makazi bora!
Mawasiliano & Site Visit:
Piga simu au WhatsApp sasa hivi:
๐
๐
Dalali Uhuru Mbweni โ Uhakika na Uaminifu Katika Nyumba na Viwanja! @dalaliuhuru_mbweni















