Kiwanja kinauzwa Mbweni Ubungo, Dar Es Salaam (600 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
💎 FURSA YA INVESTING: KIWANJA KINAUZWA - MBWENI UBUNGO 💎
Unatafuta eneo la kujenga nyumba ya kifahari au kuwekeza kwenye eneo lenye thamani kubwa? Kiwanja hiki kizuri na kinachovutia kinakusubiri.
Uchanganuzi wa Kiwanja:
Mahali: Ubungo (Kikumbweni)
Ukubwa: 600 SQM
Hali ya Kiwanja: Tambarare (Haitaji gharama kubwa za kusawazisha)
Ufikikaji: Mita chache tu kutoka kwenye lami
Ujirani: Eneo limepangika vyema, huduma zote zipo, na limezungukwa na nyumba za kisasa.
Bei: TZS 120 Million
☎️ Piga Simu / WhatsApp:
@dalaliuhuru_mbweni
#KiwanjaKinauzwa #NyumbaNaViwanja #Mbweni #KiwanjaMbweni #RealEstateTanzania ViwanjaDarEsSalaam NyumbaZaKifahari TanzaniaRealEstate InvestInTanzania PlotForSaleTanzania















