Kiwanja kinauzwa Ntyuka, Dodoma


Huduma na Sifa
Maelezo
⚠️ Hii ndiyo moja ya sehemu pendwa , yenye makazi mapya na iliyo karibu zaidi na Dodoma Mjini
NTYUKA – DODOMA
🚗 KM 7 tu kutoka Dodoma Mjini
💰 Tsh 12,000 tu @ SQM
📑 Viwanja vipo tayari kwa mchakato wa umiliki na kumbuka mchakato wa Hati miliki tunafanya bure👌
💳 Unaruhusiwa kulipa kwa awamu
[Ndani ya miezi 3 -6]
📈 Eneo la makazi mapya ,lenye fursa kubwa ya kupanda thamani kadri Dodoma inavyoendelea kukua.
— usisubiri mpaka iishe!
📞 Piga/WhatsApp:
Au Tembelea office zetu zilizopo 📍 Mtendeni Street in Zahir Restaurant Block, Opposite na Maisha
📍 Markland Professionals & Real Estate Co. Ltd — Trusted Land Experts
#makazimapya
#viwanjavyabeirahisi #mjimpya #NtyukaDodoma #ViwanjaDodoma ViwanjaVinauzwa ArdhiDodoma Dodoma Uwekezaji Makazi Biashara RealEstateTanzania MarklandProfessionals LandInvestment DodomaRealEstate















