Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa Stand, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 38,000,000

Maelezo

๐Ÿก KIWANJA KINAUZWA โ€“ TABATA BONYOKWA STAND

Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa nzuri kwako!

๐Ÿ“ Location: Tabata Bonyokwa Stand, takribani dakika 5 kutoka stendi hadi kwenye kiwanja

Kipo jirani na Secondary ya Bonyokwa

โœ… Ukubwa: SQM 400
โœ… Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi binafsi
โœ… Pia kinafaa kwa ujenzi wa apartments (nyumba za biashara)
โœ… Eneo ni zuri, limeendelea na linaendelea kukua kwa kasi
โœ… Barabara imewekewa zege na inafikika kirahisi hata kipindi cha mvua

๐Ÿ’ฐ Bei: TSh Milioni 38 (Fixed)
๐Ÿ“„ Nyaraka: Sales Agreement

Usikose nafasi hii ya kuwekeza katika eneo lenye maendeleo na mahitaji makubwa ya makazi.

๐Ÿ“ž Wasiliana: +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300
๐Ÿ’ฐ Service Charge: TSh 30,000/=

Karibu ndugu mteja, tufanye biashara.
Dalali Amani Kimaraโ€“ Miliki Kesho Yako Leo!!!