Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Mwanzo Mgumu, Dar Es Salaam (270 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
270 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Kiwanja kinauzwa bei milion 7. Ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 270. Eneo zuri sana pia kuna barabara ya mtaa ipo pia na nguzo ya umeme ipo karibu sana kama unavyo ona. Hapa unaweza jenga nyumba ya makazi pamoja na fremu kibiashara au Apartments za kupangisha na kadhalika..., Hii eneo la kiwanja lipo maeneo ya tabata kinyerezi mwanzo mgumu dar es salaam
Ndugu mteja changamuka eneo haikai๐๐โโ๏ธ๐๐โโ๏ธ
Service charge tsh 50,000/=
Contact:















