Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (1040 sqm)

Sh. 50,000,000

Aina

Kiwanja

Residential Plot for sale in Segerea

Ukubwa

1040 SQM

Barabara ya Karibu

5km

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Soko
Karibu na Hospitali

Maelezo

🏑 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA (V/Bank)

πŸ“ Unatafuta kiwanja kikubwa katika eneo tulivu na lenye miundombinu bora? Hiki ndicho chaguo sahihi kwako!

* πŸ“Œ Eneo: Tabata Segerea – V/Bank
* πŸš— Dakika 10 kutoka Segerea Mwisho Stendi
* πŸ›£οΈ Dakika 5 tu kutoka barabara ya lami
* πŸ“ Ukubwa: SQM 1,040
* πŸ“„ Hati Miliki ya Wizara
* βœ… Hakina mgogoro
* πŸ›€οΈ Kinatazama barabara ya mtaa
* 🌳 Kipo kwenye neighborhood tulivu na salama
* πŸ’§ Miundombinu yote imekamilika, barabara zinapitika mwaka mzima
* πŸ₯ Shule, hospitali, masoko na huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana kwa urahisi

Kiwanja hiki kinafaa kwa:
🏑 Ujenzi wa nyumba ya kifahari yenye eneo kubwa la wazi.
🏒 Uwekezaji wa apartments au nyumba za kupangisha zenye faida kubwa.

πŸ’° Bei: TSh 50,000,000 (Fixed)
Malipo ya dalali ni 10%.

πŸ’΅ Service Charge: TSh 30,000/=

πŸ“ž Mawasiliano: +255 688 412 890

Usikose fursa hii ya kumiliki kiwanja katika moja ya maeneo yanayokua kwa kasi jijini Dar es Salaam. Karibu sana tufanye biashara!