Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (740 sqm)

video thumbnail
Sh. 80,000,000

Huduma na Sifa

Ardhi Iliyopimwa
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

🏑✨ KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA,VIWANJA VYA BANK ✨🏑

Fursa nzuri sana kwa makazi au uwekezaji!
Kiwanja hiki kipo Tabata Segerea, Viwanja vya Bank, eneo la hadhi na majirani wa kisasa, mazingira tulivu na salama.

πŸ“ Sifa za Kiwanja:
βœ… Ni cha tatu kutoka barabara ya lami
βœ… Eneo zuri lenye neighborhood ya hadhi
βœ… Tambarare kabisa – tayari kwa ujenzi
βœ… Kimepimwa
βœ… Ukubwa: SQM 740
βœ… Barabara nzuri na inafikika kirahisi kipindi chote

🏠 Matumizi yanayofaa:
β€’ Makazi binafsi – jenga dream house yako
β€’ Apartments
β€’ Guest lodge
β€’ Uwekezaji wa biashara nyingine

⏱️ Umbali ni takriban dakika 1–5 tu kutoka barabara ya lami

πŸ’° Bei: TZS Milioni 80 (mazungumzo yapo kidogo)

πŸ“ž +255688412890 Karibu ndugu mteja, hii siyo ya kukosa!
πŸ’Ό Service charge: 30,000/=.