Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (740 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
740 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘β¨ KIWANJA KINAUZWA β TABATA SEGEREA,VIWANJA VYA BANK β¨π‘
Fursa nzuri sana kwa makazi au uwekezaji!
Kiwanja hiki kipo Tabata Segerea, Viwanja vya Bank, eneo la hadhi na majirani wa kisasa, mazingira tulivu na salama.
π Sifa za Kiwanja:
β
Ni cha tatu kutoka barabara ya lami
β
Eneo zuri lenye neighborhood ya hadhi
β
Tambarare kabisa β tayari kwa ujenzi
β
Kimepimwa
β
Ukubwa: SQM 740
β
Barabara nzuri na inafikika kirahisi kipindi chote
π Matumizi yanayofaa:
β’ Makazi binafsi β jenga dream house yako
β’ Apartments
β’ Guest lodge
β’ Uwekezaji wa biashara nyingine
β±οΈ Umbali ni takriban dakika 1β5 tu kutoka barabara ya lami
π° Bei: TZS Milioni 80 (mazungumzo yapo kidogo)
π +255688412890 Karibu ndugu mteja, hii siyo ya kukosa!
πΌ Service charge: 30,000/=.















