Viwanja vinauzwa Chidachi Ntyuka, Dodoma (300 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
VIWANJA VINAUZWA DODOMA
MJINI
° ENEO- CHIDACHI NTYUKA
📍Viwanja vina Hati ya wizara
📍Viwanja vipo km 6 kutoka Dodoma mjini
📍Mahitaji yote muhimu yamefika mbaka site kama Maji na umeme
📍Ukubwa -kuanzia sqm 300-800
📍Bei- kuanzia 8M pia malipo ya awamu yapo
📍Viwanja vinapakana na ring road ya ndani ya meter 80
📍Viwanja vinafaa kwa makazi na biashara
📍OFFER YA MKATABA WA MAUZIANO KUTOKA KWA MWANASHERIA NA HATI BURE KABISA
📍 Usafiri wa kwenda site kuona viwanja ni Bure kabisa
📍Wasiliana nami 0790111137















