Viwanja vinauzwa Ihumwa, Iyumbu, Dodoma

 media -1
media -1
Sh. 15,000 per sqm

Aina

Kiwanja

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Karibu na Shule
Karibu na Barabara
Karibu na Hospitali
Site Visit Bure

Maelezo

Karibu utembelee miradi yetu ya viwanja bure siku zote za wiki.

MRADI WA VIWANJA IHUMWA
✅ Mradi upo jirani na barabara ya mzunguko (Outer Ring Road)
✅ mita chache kutoka bandari kavu
✅ Km 17 kutoka katikati ya jiji la Dodoma
✅ km 3 na nusu mpaka Hospital ya B.Mkapa.

Bei za viwanja
◽️Kwa Sqm 1 kwa ni sh 15,000 hadi 30,000 kutegemea na matumizi ya eneo.

MRADI WA VIWANJA IYUMBU
✅ Mradi upo jirani na shule ya Dr. Samia
✅ Km 5 kutoka chuo kikuu cha Dodoma (UDOM)
✅ Km 7 mpaka katikati ya Jiji la Dodoma
✅ Maji, Umeme, Barabara vyote vipo

Bei za viwanja Iyumbu
◽️ Kwa Sqm 1 kwa malipo ya Cash ni sh 37,000
◽️ Kwa Sqm 1 kwa malipo ya Installment sh 40,000