Viwanja vinauzwa Kibaha Mile Moja, Pwani (400 sqm)


Aina
Kiwanja
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
4km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
. ๐ผ๐ต๐จ๐ฏ๐ฐ๐ป๐จ๐ฑ๐ฐ ๐ฒ๐ฐ๐พ๐จ๐ต๐ฑ๐จ KIBAHA MILE MOJA (๐ท๐๐๐๐๐๐)? โ Jipatie kiwanja Bora cha makazi kibaha mile moja pangani kikiwa na miundombinu ya umeme maji na barabara. โ Viwanja vipo karibu na kituo cha afya cha mtakuja(pangani), km 4 tu kutoka barabara ya morogoro โ Bei ya Sqm1 ni 20,000/= malipo ya CASH na 23,000 kwa sqm 1 malipo ya AWAMU. โ Viwanja vipo kuanzia ukubwa wa 20 kwa 20 (sqm400) hadi sqm 1000. โ Kutembelea mradi ni siku yoyote na ni Bila malipo (BURE) NB: SINZA ilikuwa mabonde ya mpunga๐, MAGOMENI ilikuwa mapori ya kuwinda sungura๐, MBEZI iliitwa Mbezi ya shamba, ๐ lakini Leo hapashikiki kwa Bei,,,SASA WEWE ENDELEA KUSUBIRI PACHANGAMKEE! ๐ Wasiliana nasi kwa namba 0753311817 ๐ฒ WhatsApp namba 0621354769 #GreenLandRealEstate #TheFutureIsHere















