Viwanja vinauzwa Kigamboni Buyuni, Dar Es Salaam (449 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
449 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Haihitaji uwe billionaire uweze kumiliki kiwanja kigamboni Leo napenda niwaletee mradi mzuri kabisa wa bei rafiki ambao ni mradi wa kigamboni buyuni
Bei yake ni kuanzia Milioni 5 tu na kuendelea. Hii ni nafasi nzuri kwa yeyote anayetamani kumiliki kiwanja kwa ajili ya makazi au uwekezaji wa baadaye.
Usikose fursa hii ya kuanza safari yako ya kumiliki ardhi. Nunua leo kabla bei haijapanda au viwanja kuisha. 🏡✨
Viwanja Vilivyopo sokoni na Vilivyotoka sokoni
✅Sqm 449 Tsh 4,490,000✅available ✅
❌ sqm 750 Tsh 7,500,000 ❌ sold ❌
✅ sqm 757 Tsh 7,570,000✅available ✅
❌sqm 480 Tsh 4,800,000❌sold ❌
❌sqm 884 Tsh 8,840,000❌ sold❌
❌ sqm 721 Tsh 7,210,000❌sold ❌
✅sqm 616 Tsh 6,160,000✅ available ✅
✅sqm 711 Tsh 7,110,000✅available✅
📞 Wasiliana nasi sasa kupata kiwanja 0761444564
#KigamboniBuyuni #UwekezajiWaArdhi #ViwanjaDar #MilikiArdhi















