Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam (121 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
121 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 VIWANJA KARIBU NA NYERERE BRIDGE VINAPATIKANA!
Je, unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba au kufanya uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!
✅ Viwanja vinaanzia mita 11 × 11
💰 Bei zinaanzia TSh Milioni 15 tu
📍 Eneo lipo karibu na shule na standi, hivyo linafaa kwa makazi na uwekezaji.
Usikose nafasi ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.
📞 Wasiliana nasi sasa: Sam –
Wahi kabla nafasi hazijaisha! #viwanja #viwanja #viwanja #viwanja #viwanjatz #kigamboni #millardayoupdates















