Viwanja vinauzwa Kigamboni Kimbiji, Dar Es Salaam (541 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
541 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Karibu Kigamboni Kimbiji. Grand Estate 🌴🏡
Unatafuta kiwanja kwaajili ya kutimiza ndoto yako ya biashara ,oasis tunaviwanja kwaajili ya biashara,uwekezaji na makazi mradi wetu uko Kigamboni kimbiji kwa chale .
📍 Umbali kutoka Ferry: Km 33 tu
🌊 Umbali kutoka baharini: Mita 800
🛣 Umbali kutoka barabara kuu: Mita 300
✔️ Huduma zote za kijamii zipo karibu (shule, hospitali, maji, umeme)
Eneo linaendelea kukua kwa kasi, miundombinu inaboreshwa kila siku na thamani ya ardhi inapanda kila mwaka
Viwanja Vilivyopo sokoni
✅sqm 541 Tsh 10,820,000✅Available ✅
✅sqm 510 Tsh 10,200,000✅available ✅
✅sqm 514 Tsh 10,280,000✅available ✅sqm 528 Tsh 10,560,000✅available ✅
❌sqm 510 Tsh 10,200,000❌sold❌
❌sqm 508 Tsh 10,160,000❌sold❌
❌sqm 448 Tsh 8,960,000❌sold❌
❌sqm 499 Tsh 9,980,000❌sold❌
Usisubiri hadi bei zipande zaidi…
Chukua hatua sasa, jenga kesho yako leo!
📞 Wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi 0761444564
👉 Viwanja vinapatikana kwa CASH na INSTALLMENT
#GrandEstate #Kigamboni #Uwekezaji #ArdhiNiMali #InvestNow















