Tafuta

Viwanja vinauzwa Kigamboni Mwasonga, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 25,000/sqm

Aina

Kiwanja

Residential Plot for sale in Kigamboni

Ukubwa

400 SQM

Barabara ya Karibu

2km

Awali

Inaruhusiwa

Maelezo

🔥MRADI MPYA 🔥
📍KIGAMBONI MWASONGA

Fursa nzuri kwa yeyote anayetamani kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi na lenye makazi tayari.

✅Mradi upo KM 23 kutoka Ferry.
✅Ni KM 2 tu kutoka barabara kuu.
✅Eneo tayari limeendelea na majirani wapo wanaishi.
✅Kuna huduma zote za kijamii.

📐Ukubwa wa viwanja kuanzia SQM 400 na kuendelea, hivyo unaweza kuchagua ukubwa unaokufaa kwa makazi au uwekezaji.

💰Bei:
• Tsh 25,000 kwa SQM Cash
• Tsh 30,000 kwa SQM - Installments miezi 20.

Siku za site🚘
✅Jumatano
✅Jumamosi
✅Jumapili

📍Dar Office Zetu Zinapatikana Makumbusho, Mwanga Tower 12th Floor.

📍Dodoma Nyerere Square (Imarika Floor No 2)

Call/WhatsApp
📱 0675557452