Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
🌿 Leo ni siku nzuri ya kufanya maamuzi ya maisha yako ya kesho.
Kumiliki kiwanja si kwa ajili ya matajiri pekee, bali ni kwa mwenye maono ya mbele. 🏡✨
Anza hatua yako leo uwe sehemu ya watu wanaojenga future zao kwa uwekezaji salama wa ardhi.
Usisubiri mpaka bei zipande au maeneo yajazwe na watu ndipo uanze kutafuta nafasi.
Kiwanja cha leo kinaweza kuwa mafanikio yako makubwa ya kesho. 📍💚 MIRADI
📌KIMBIJI KWA CHALE 📍 Mita 200 tu kutoka barabara kuu
🌊 Mita 600 kutoka baharini
💰 Bei ni sh 30,000 kwa sqm
✅ Anza na down payment ya 20% tu
📆 Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18
📍 BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni – Dar es Salaam
✔ Km 2 kutoka Baharini
✔ Km 1 kutoka Barabara kuu
💰 Bei Maalum:
• Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
• Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
✔ Malipo kwa awamu hadi miezi 24
📍Tunapatikana makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11
📞Wasiliana nasi +255 748 303 601
🍀Karibu tufanye ndoto yako ya kumiliki ardhi kuwa halisi. #MilikiArdhi
#ViwanjaVyaUhakika
#UwekezajiSalama
#Kigamboni
#ArdhiNiMali
FutureYakoKwanza
JengaKeshoYako















