Viwanja vinauzwa Kisemvule, Pwani (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
𝗨𝗪𝗘𝗞𝗘𝗭𝗔𝗝𝗜 𝗕𝗢𝗥𝗔 𝗛𝗔𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗪𝗜 𝗟𝗘𝗢 𝗧𝗨... 𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗪𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗜𝗞𝗜𝗥𝗜𝗔 𝗞𝗘𝗦𝗛𝗢. 📈🏡
Kadri idadi ya watu inavyoendelea kuongezeka, ndivyo mahitaji ya ardhi na makazi yanavyozidi kuongezeka.
Ndiyo maana wawekezaji wenye maono huangalia maeneo yenye ukuaji wa baadaye, si yale yaliyokwishaendelea.
Kisemvule ni moja ya maeneo yanayotarajiwa kuwa na ukuaji mkubwa kutokana na maendeleo ya viwanda, miundombinu na ongezeko la mahitaji ya makazi.
Akiba Properties tumekuandalia mradi wa Kisemvule ili kukupa nafasi ya kuwekeza mapema kabla thamani ya eneo haijapanda zaidi.
𝗞𝘄𝗮 𝗻𝗶𝗻𝗶 𝘂𝗰𝗵𝗮𝗴𝘂𝗲 𝗞𝗶𝘀𝗲𝗺𝘃𝘂𝗹𝗲?
✅ Viwanja vinapatikana kuanzia SQM 400 na kuendelea.
✅ SQM 1 ni TSh 18,000 tu.
✅ Lipa kidogo kidogo kwa miezi 36.
✅ Hati Miliki Bure ukikamilisha malipo kwa 100%.
✅ Mkataba wa Mauziano.
✅ EFD Receipt kwa kila malipo.
✅ Usafiri Bure kwenda Site Visit kila Jumamosi.
Leo ni nafasi yako. Kesho inaweza kuwa gharama kubwa zaidi.
📞 Book Site Visit sasa: 0699 117 035 / 0699 117 036
📍 Mwenge Bamaga, Dora Tower (Ghorofa ya 4) – Dar es Salaam.
#AkibaProperties #Kisemvule #ViwanjaVinauzwa #RealEstateTanzania #uwekezaji















