Viwanja vinauzwa Kisemvule Sunguvuni, Pwani (388 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
📍 MRADI MPYA – KISEMVULE SUNGUVUNI, PWANI
Huu ndio mradi unaovuma kwa sasa!
Kisemvule Sunguvuni ni eneo linalokua kwa kasi kutokana na uwepo wa viwanda vikubwa na maendeleo ya makazi. Ni sehemu yenye thamani inayoongezeka kila siku.
* Bei ni TSh 18,000 tu kwa kila Square Meter.
* Viwanja vinaanzia ukubwa wa SQM 388 hadi SQM 1,000.
* Unaweza kuanza kumiliki kiwanja chako kwa rejesho la kuanzia TSh 150,000 tu kwa mwezi.
Mradi huu una faida nyingi:
✅ Umbali wa KM 9 tu kutoka Barabara Kuu ya Dar es Salaam – Mtwara.
✅ Ni KM 12 tu kutoka Standi ya Kisemvule hadi kwenye mradi.
✅ Barabara zinafikika moja kwa moja hadi Site.
✅ Umeme, maji, shule, hospitali, masoko na huduma zote muhimu za kijamii tayari zinapatikana karibu na eneo la mradi.
Na jambo zuri zaidi…
Ukishalipa rejesho la kwanza tu, unapatiwa:
* Mkataba wa Mauziano (Sale Agreement)
* EFD Receipt
* Ruhusa ya kuanza kuendeleza kiwanja chako mara moja.
Na ukimaliza malipo kwa asilimia 100…
HATI MILIKI NI BUREEEEEEE!
⸻
Pia tunayo miradi mingine yenye fursa za kipekee:
Kwa Mawasiliano Zaidi Piga Simu..
0699 117 035
0699 117 036















